Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 17,056
- 18,404
Safi sana kila mara mnadai polisi wachunguze tukio la Lissu kupigwa risasi naona umeshapata majibu. Waambie polisi waache kuhangaika na dereva waje kwako maana ni verified user.Msigwa ni Maarufu tu lakini mpaka sasa watu zaidi ya kumi wako mahabusu kwa zaidi ya wiki sasa bila ya kupelekwa mahakamani.
Sasa naelewa ni kwa nini Tundu Lissu alishambuliwa kwa risasi.
cc kamanda Sirro.