Ni kamanda Highness Kiwia atakuwepo Nyamanoro kuanzia saa nane mchana na nitakuwepo kuwapeni updates.Hakuna kulala mpaka kieleweke.Peeeeeeeooooooples Poweeee
...serikali yako imeisha-filisika hakuna hata pesa ya kuwalipa watumishi wake,sasa unategemea Kiwia MB aende Kiseke,Nyamanoro,Bwiru,Lumala,Pasiasi,Nyansaka,K/hewa nk,akawahamasishe watu watoke majumban mwao na majembe na makarai wakatengeneze barabara?...Tulimchagua mbuge wetu(Kiwa) asimamie serikali ifanye kazi yake kama inavyopaswa na ahakikishe pesa yote inatengwa kwaajili ya maendeleo ya jibo la Ilemela zinafika jimboni ili kufanikisha miradi ya maendeleo.Ebu ritz twambie mbunge atafanya nini kama tayari serikali anayoisamaia ilete pesa kwaajili ya maendeleo imefilisika?...kabla hauja mrukia Kiwia kwanza ungeanza na huyo unaye mwita raisi kumuuliza,je ameifanyia nini wilaya ya Ilemela tangu aingie madarakan zaidi ya miaka 6?...Kuna kitu gani mpaka sasa hivi anaweza kujivunia kama mbunge kafanya...wakazi wa Nyamanoro, Lumala, Nyasaka, Bwiru, Nyakato, Buswelu, Pasiansi. kiseke, Igombe, naombeni majibu
Kuna kitu gani mpaka sasa hivi anaweza kujivunia kama mbunge kafanya...wakazi wa Nyamanoro, Lumala, Nyasaka, Bwiru, Nyakato, Buswelu, Pasiansi. kiseke, Igombe, naombeni majibu