CCM wanatuchanganya sana Mara uchumi umefunguka, pesa mtaani zipo, TRA wamevunja record mara faida kwenye Bank zimeongeza.
Ukweli mtaani pesa hakuna kabisa
Kazi iendelee
Wanakauliza zao UVCCM “Alipo Mama vijana tupo “
Kauli mbaya sana kwenye ulimwengu wa Roho.