C ndio maana aliwekwa ndani na anayo kesi mahakamani. Sasa kwann Msukuma asikamatwe. Ukiwa wajua kutukana ndio ccm wanakupa cheoIlifaa ujiulize kwanza "Mbunge wa Chadema Godbless Lema, kumtukana RAIS wa JMT ni sawa!?". Ukipata jibu then apply kwenye hilo Swali lako.
Mnajitoa fahamu, ilhali nyinyi ndio Wahuni watovu wa Nidhamu kupindukia.
Ingekuwa ni wa UKAWA kaongea ange itwa polisi kwa maneno ya uchichezi. Na TCRA wange mpiga fine kwa kosa la mtandaoNI SAWA MKUU MAANA HAO WENZETU WANA KINGA.WANAFANYA WANACHOJISIKIA
Lema ana digrii ya nini kwani?si ameanza mwenyewe kumtusi mzee wa longido!Asa uyo msukuma mwnyw ni std 7 asa ataongea nn?
Msukuma na Lema ni level moja kwa Cheo na upayukaji. Hapo ngoma ni suluhu hakuna mshindi.C ndio maana aliwekwa ndani na anayo kesi mahakamani. Sasa kwann Msukuma asikamatwe. Ukiwa wajua kutukana ndio ccm wanakupa cheo
Mie kama mtanzania sijafurahishwa na matamshi ya Mbunge Msukuma wa CCM kwa kumtukana Mheshimiwa Lema.
Msukuma kamtukana Lema Kuwa ni "KIDAMPA". Lema anayofamilia yake inayomheshimu na wapiga kura wa jimbo la Arusha mjini, kumtukana mbunge wao ni halali.
Kama ingetokea mbunge yeyote wa opposition ndio akatoa matamshi hayo nafikiri kwasasa angekuwa ndani. Inabidi serikali au jeshi la polisi kuchukua hatua kwa kila anaetenda kosa. Wasichague kuwa wanaokamatwa ni opposition tu.
Hii inaleta mgawanyiko katika nchi. Huwezi kumtukana mtu mwenye familia yake na mwenye heshima yake katka jamii kirahisirahisi hivi.
Lema fungua kesi Mahakamani ushahidi ninayo ya video.
Lema is a criminal. Over.Mie kama mtanzania sijafurahishwa na matamshi ya Mbunge Msukuma wa CCM kwa kumtukana Mheshimiwa Lema.
Msukuma kamtukana Lema Kuwa ni "KIDAMPA". Lema anayofamilia yake inayomheshimu na wapiga kura wa jimbo la Arusha mjini, kumtukana mbunge wao ni halali.
Kama ingetokea mbunge yeyote wa opposition ndio akatoa matamshi hayo nafikiri kwasasa angekuwa ndani. Inabidi serikali au jeshi la polisi kuchukua hatua kwa kila anaetenda kosa. Wasichague kuwa wanaokamatwa ni opposition tu.
Hii inaleta mgawanyiko katika nchi. Huwezi kumtukana mtu mwenye familia yake na mwenye heshima yake katka jamii kirahisirahisi hivi.
Lema fungua kesi Mahakamani ushahidi ninayo ya video.
Lema hajaishia s.t.d 7Lema ana digrii ya nini kwani?si ameanza mwenyewe kumtusi mzee wa longido!
Namshauri aachane naye! huyu kila mtu anajua ni mvuta bangi pengine wakati anatoa tamshi alikuwa ameshalipulizaMie kama mtanzania sijafurahishwa na matamshi ya Mbunge Msukuma wa CCM kwa kumtukana Mheshimiwa Lema.
Msukuma kamtukana Lema Kuwa ni "KIDAMPA". Lema anayofamilia yake inayomheshimu na wapiga kura wa jimbo la Arusha mjini, kumtukana mbunge wao ni halali.
Kama ingetokea mbunge yeyote wa opposition ndio akatoa matamshi hayo nafikiri kwasasa angekuwa ndani. Inabidi serikali au jeshi la polisi kuchukua hatua kwa kila anaetenda kosa. Wasichague kuwa wanaokamatwa ni opposition tu.
Hii inaleta mgawanyiko katika nchi. Huwezi kumtukana mtu mwenye familia yake na mwenye heshima yake katka jamii kirahisirahisi hivi.
Lema fungua kesi Mahakamani ushahidi ninayo ya video.
Why he is not jailed?Lema is a criminal. Over.
Not yet caughtWhy he is not jailed?
Uwe unaelewa swali mkuu,mnatupa shida walimu bana.Lema hajaishia s.t.d 7
Lema alivyosema kumtukana na kumzomea lowassa ni Baraka toka kwa Mungu sasa yeye yamemrudiaMie kama mtanzania sijafurahishwa na matamshi ya Mbunge Msukuma wa CCM kwa kumtukana Mheshimiwa Lema.
Msukuma kamtukana Lema Kuwa ni "KIDAMPA". Lema anayofamilia yake inayomheshimu na wapiga kura wa jimbo la Arusha mjini, kumtukana mbunge wao ni halali.
Kama ingetokea mbunge yeyote wa opposition ndio akatoa matamshi hayo nafikiri kwasasa angekuwa ndani. Inabidi serikali au jeshi la polisi kuchukua hatua kwa kila anaetenda kosa. Wasichague kuwa wanaokamatwa ni opposition tu.
Hii inaleta mgawanyiko katika nchi. Huwezi kumtukana mtu mwenye familia yake na mwenye heshima yake katka jamii kirahisirahisi hivi.
Lema fungua kesi Mahakamani ushahidi ninayo ya video.
na TAKUKURUCCM NA POLICE ,TRA NEC WOTE TEAM MOJA UNATEGEMEA NINI HAPO
Huyo musukuma wenyewe chizi na hakuna asiemjuaMie kama mtanzania sijafurahishwa na matamshi ya Mbunge Msukuma wa CCM kwa kumtukana Mheshimiwa Lema.
Msukuma kamtukana Lema Kuwa ni "KIDAMPA". Lema anayofamilia yake inayomheshimu na wapiga kura wa jimbo la Arusha mjini, kumtukana mbunge wao ni halali.
Kama ingetokea mbunge yeyote wa opposition ndio akatoa matamshi hayo nafikiri kwasasa angekuwa ndani. Inabidi serikali au jeshi la polisi kuchukua hatua kwa kila anaetenda kosa. Wasichague kuwa wanaokamatwa ni opposition tu.
Hii inaleta mgawanyiko katika nchi. Huwezi kumtukana mtu mwenye familia yake na mwenye heshima yake katka jamii kirahisirahisi hivi.
Lema fungua kesi Mahakamani ushahidi ninayo ya video.