Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Lukuvi hasimama kuomba mwongozo wa spika?
Lukuvi huwa anasimama kuomba muongozo wa spika kwa wabunge wa CHADEMA tu,juzi j3 Mwigulu na Komba wametukana lakini hakuomba muongozo jana pia Lusinde kaongea utumbo eti naibu spika anamuambia sijasikia naomba urudie.