leo bungeni mwenyeewe nimejionea mbunge wa Kisesa CCM Ameisasambua bajeti ya serikali kwamba hakubaliani nayo,na haungi mkono kupitishwa,pia amesema kuwa serikali ni mfilisi,anasema imekiuka mpango mzuri wa maendeleo wa rais kikwete.haya semeni na hilo tena.