Mbunge Tauhidi, alowatukana Watanzania KENGE , kumbe ana Elimu ya kuunga unga sana, kafeli form four mara Kadhaa

Mbunge Tauhidi, alowatukana Watanzania KENGE , kumbe ana Elimu ya kuunga unga sana, kafeli form four mara Kadhaa

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU wa Akili , moe nafasi ya kuongea !!.

Huyu wale unakuta wanaambiwa 'Jitahidi rudia rudia kusafisha Cheti, ili mradi upate sifa , kasome kadiploma '.

Ukifatalia kiundan hata kadiploma lake, kakapata Kwa kuunga unga na kuvuliwa chupi.

Kama MTU kafeli form four mara Kadhaa, hiyo diploma atapata kirahisi?

Tanzania yetu HAMNA CHUO KINAITWA "COMMUNITY CONCERN TRAINING INSTITUTE" hamna chuo hiko hapa Nchini katika Orodha ya Vyuo vya Nacte.

Lakini pili, hata jina la chuo limendikwa Kwa kukosewa badala ya Training imebandikwa Trainung .

Mwisho japo Si Kwa Umuhimu, Akisema labda walikosea kuandika jina la chuo, Sijui wakaandika aina ya kozi alosoma , Bado inakataa tu .

Akisema Chuo Kiko Nje ya Nchi, atumbie alienda Lini kusoma nje ya Nchi Mwaka 2013-2015 Hiyo Diploma, WAKATI HUO MWAKA WA 2013-2015 ALIKUA ANAHANGAIKA KURUDIA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE NA SITA KWENYE SEKONDARI YA UBAGO???

Screenshot_20250526_221902~2.jpg
 
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU wa Akili , moe nafasi ya kuongea !!.

Huyu wale unakuta wanaambiwa 'Jitahidi rudia rudia kusafisha Cheti, ili mradi upate sifa , kasome kadiploma '.

Ukifatalia kiundan hata kadiploma lake, kakapata Kwa kuunga unga na kuvuliwa chupi.

Kama MTU kafeli form four mara Kadhaa, hiyo diploma atapata kirahisi?

View attachment 3346714
sikubaliani na wabunge wawili walioongea kama watoto wadogo, hawajaonyesha kama ni watu wazima kabisa. pamoja na kwamba sikubaliani na Martha karua na kundi lake kuja bongo, ila ukweli n kwamba wabunge wengi wa chama fulani wamefika pale kwa sehemu zao za siri kuumia sana, hawana akili hata nukta zaidi ya akili za jini mahaba.
 
Wakuu ,huyu Mbunge wa Viti MAALUMU alotumia MIAKA 18 kusoma Elimu ya Sekondari.

Na ambaye ameanza shule mwaka 1988 lakini mpaka 2015 akawa kaishia Diploma.

Inawezekana kabisa, Kalidanganya Bunge na Serikali juu ya Elimu yake.
PhotoGrid_Site_1748291389624.jpg


Tanzania yetu HAMNA CHUO KINAITWA "COMMUNITY CONCERN TRAINING INSTITUTE" hamna chuo hiko hapa Nchini katika Orodha ya Vyuo vya Nacte.

Lakini pili, hata jina la chuo limendikwa Kwa kukosewa badala ya Training imebandikwa Trainung .


Mwisho japo Si Kwa Umuhimu, Akisema labda walikosea kuandika jina la chuo, Sijui wakaandika aina ya kozi alosoma , Bado inakataa tu .


Akisema Chuo Kiko Nje ya Nchi, atumbie alienda Lini kusoma nje ya Nchi Mwaka 2013-2015 Hiyo Diploma, WAKATI HUO MWAKA WA 2013-2015 ALIKUA ANAHANGAIKA KURUDIA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE NA SITA KWENYE SEKONDARI YA UBAGO???


MBUNGE KALIDANGANYA BUNGE NA SERIKALI!!
 
sio kila mtu ni kiongozi nivile umefanywa kama aina ya biashara
ukiachana na uongozi sio kila mtu anauwezo wakuongelea mambo yanayotokea kwenye jamii
amini kwamba
 
Ukitaka kujua Uwezo wa MTU wa Akili , moe nafasi ya kuongea !!.

Huyu wale unakuta wanaambiwa 'Jitahidi rudia rudia kusafisha Cheti, ili mradi upate sifa , kasome kadiploma '.

Ukifatalia kiundan hata kadiploma lake, kakapata Kwa kuunga unga na kuvuliwa chupi.

Kama MTU kafeli form four mara Kadhaa, hiyo diploma atapata kirahisi?

Tanzania yetu HAMNA CHUO KINAITWA "COMMUNITY CONCERN TRAINING INSTITUTE" hamna chuo hiko hapa Nchini katika Orodha ya Vyuo vya Nacte.

Lakini pili, hata jina la chuo limendikwa Kwa kukosewa badala ya Training imebandikwa Trainung .

Mwisho japo Si Kwa Umuhimu, Akisema labda walikosea kuandika jina la chuo, Sijui wakaandika aina ya kozi alosoma , Bado inakataa tu .

Akisema Chuo Kiko Nje ya Nchi, atumbie alienda Lini kusoma nje ya Nchi Mwaka 2013-2015 Hiyo Diploma, WAKATI HUO MWAKA WA 2013-2015 ALIKUA ANAHANGAIKA KURUDIA MITIHANI YA KIDATO CHA NNE NA SITA KWENYE SEKONDARI YA UBAGO???

View attachment 3346714
Kumbe yeye ndi kenge
 
Back
Top Bottom