TAWA
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 3,667
- 1,566
Ni dhahiri ameshindwa kuliongoza jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Haonekani Bungeni wala jimboni.
Tulimuona alipokuja kuhudhuria msiba Wa mama yake Mzazi tu. Baada ya hapo hatujui alipo.
Sasa huyu ni msemaji wetu, ni Mwakilishi wetu lakini naamini huko aliko sidhani kama anajua shida tunazokumbana nazo huku.
1. Jimbo hili halina hata centimeter moja ya barabara yenye kiwango cha lami
2. Jimbo hospital kubwa ya wilaya ipo katika kata tawa lakini vituo vidogo vilivyopo vipo dhohofu. Hata hii hospital inayoitwa ya wilaya hakuna tiba zinazoeleweka
Kokote ulipo mheshimiwa njoo utusikilize kero zetu ukatusemee, maana hiyo ndiyo kazi yako tuliyokupatia
Tulimuona alipokuja kuhudhuria msiba Wa mama yake Mzazi tu. Baada ya hapo hatujui alipo.
Sasa huyu ni msemaji wetu, ni Mwakilishi wetu lakini naamini huko aliko sidhani kama anajua shida tunazokumbana nazo huku.
1. Jimbo hili halina hata centimeter moja ya barabara yenye kiwango cha lami
2. Jimbo hospital kubwa ya wilaya ipo katika kata tawa lakini vituo vidogo vilivyopo vipo dhohofu. Hata hii hospital inayoitwa ya wilaya hakuna tiba zinazoeleweka
Kokote ulipo mheshimiwa njoo utusikilize kero zetu ukatusemee, maana hiyo ndiyo kazi yako tuliyokupatia