ni Binti ana umri wa miaka 19.mwenye picha aiweke hapa.source bbcswahili
Naona yuko na Kamanda wa Republic of Uganja...
hawa jamaa kumbe nao wanavaa rangi ya njano! Nachukia hii rangi na ile ya mboga mboga!
Wakati anahojiwa alidai umri sio unaoongoza watu bali ni akili! Kweli dunia ya sasa niya vijana!
mkuu leo umetengeneza siku yangu, nimecheka kwelikweli, maana nilivyomuona tu huyu binti ghafla mtima wangu ukawa
mweusi tiii, kushuka chini nikakutana na hii comment yako imenifanya nifurahi sana
Jamaa hajala mzigo kweli hapo??! Mama Janet pole
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums