shule ya st.marys inaongoza kwa kuiba umeme wa tanesco!waziri prof.kamtaja leo bungeni!hao ndio wachungaji wetu
Mchungaji mwiziii. Ndo maana Mimi nimeanzisha kanisa LANGU home.
Tena kesho kweli wala sio utani.Nimependa jina lakonadhani yesu anarudi kesho!duuh hali ni mbaya!