Mbunge Mary Chatanda ataka Katiba ibadilishwe ili vyama vya upinzani visiruhusiwe kufanya mikutano

chinchilla coat

JF-Expert Member
May 16, 2016
5,107
10,969


Mbunge Mary Chatanda ametaka katiba ibadilishwe ili vyama vya upinzani visiruhusiwe kufanya mikutano ya hadhara kama ilivyo baadhi ya nchi nyingine ili kuachia serikali kutekeleza ilani yake
 
Nina wasiwasi na elimu ya huyu mama,tangu kipindi kile cha mgogoro wa umeya Arusha amekuwa mlevi wa kupindukia wa madaraka.Nani asiyejua mchango wa vyama vya upinzani katika maendeleo ya demokrasia na uwajibikaji hapa nchini?Hivi ni kwa nii wabunge wa aina hii wasiwe wanakaa tu kimya bungeni kwa sababu hawana cha maana cha kuchangia!
 
Mimi nadhani CCM wangetengeneza mazingira mazuri kwa wapinzani ili wasipate shida baada ya 2020.
 
huyo ni wa jimbo mkuu,korogwe mjini bila shaka
Hivi Korogwe tunashida gani kuchagua mbunge kama huyu. Afadhali Korogwe vijijini wana Maji Marefu ambae hutetea wananchi wake. Huyu Chatanda ni disaster na anatia soni yeye anaamini kwenye concept ya CHAMADOLA. Haya wagosi na wavyee wa Korogwe sikilizeni mlichomtuma mbunge wenu kwenda kusema bungeni. Ni aibu tupu.
 
Hoja ina mashiko, kama upinzani agenda ni bunge live, kumuondoa NS, budget hewa. Heri wafutwe tu kwenye kufanya mikutano
 
huyu ni mbunge wa jimbo gani, naona bado wanao wapinzani tu, hebu wajadili hiyo budget kama inapita ipitishwe, kila wakiingia ni kuzungumzia upinzani,
 
Naunga mkono hoja ya Mbunge imejaa uzalendo wa hali ya juu.
 
ndo kitu muhim ambacho uwezo wake wote wa kufikir umemwonesho kuwa ndo tatzo kubwa nchin na lishughulikiwe, ndo think tank we2 mule mjengon hao, halaf kapgwa makof mengi tuu hatari, knachoendelea bungen n maintanance ya status quo hakuna kngne zaid.
 
Back
Top Bottom