karibu jukwaani mchambakwao naona umejiunga leo siku ya uhuru 09 dec na hii ni post yako ya pili.......lete vithibitisho vya haya uyaongeayo isije kuwa majungu
Sawa, inaonekana hawa wawindaji kuna mambo ya usiri na ufisadi wanafanya, sasa bwana laizer anawafichia kwa makubaliano na kupewa gari na kusomeshwa neema, wote hawa laizer na kampuni ya uwindaji ni wezi, lazima wachunguzwe na kushughulikiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.