Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

Joined
Aug 20, 2014
Posts
56
Reaction score
102
Habari zilizotufikia hivi punde ni kuwa Askari Polisi walivamia nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Mh Godbless Lema alfajiri ya leo na kumkamata.
Hivi sasa yupo central police ya Arusha.

Sababu za kukamatwa kwake haijajulikana bado....

Tutawajuza kila kitakachokuwa kinajiri

=======

UPDATES;

Polisi Arusha imesema inaendelea kumshikilia Mbunge Lema na baada ya upelelezi kukamilika watampeleka Mahakamani.
 
Huwezi mnyamazisha mtu kwa kumuweka mahabusu hata siku moja labda awe hajawahi kaa kwa sisi wengine ambao tumeingia huko toka tukiwa darasa la 5 si kwa kushangaa..watafute suluhisho
 
nawaambieni viongozi wa chadema mtaendelea kukamatwa woote kabla ya tarehe 1 kama mtakaa kizembe. endeleeni kubweteka kufikia tarehe ya maandamano wote mtajikuta ndani....
 
Back
Top Bottom