Mbunge Esther Matiko apendekeza Gen-Z wa Kenya Wakamatwe

Mbunge Esther Matiko apendekeza Gen-Z wa Kenya Wakamatwe

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,183
Reaction score
2,100
"Udhalilishaji mtandaoni unafanywa na hao watu wa nje tunasema, lakini zinasambazwa na kwenye mitandao ya Kitanzania, tuko wapi? Kwa nini tunaruhusu hii? Ni udhalilishaji na unaweza kuona kwamba ni udhalilishaji kwa sababu Mama, yaani Rais wetu ni mwanamke," alieleza Mbunge Esther Matiko.

"Lazima tukatae, tukiendelea kujua kwamba sisi sote ni Watoto wa mama Afrika Mashariki, mamlaka za nchi ya Tanzania na mamlaka za nchi jirani, ambapo nimeona, sijaona nchi jirani mamlaka zake zikikemea hili. Mshirikiane, mambo ya ndani ya hapa idara ya mawasiliano na kule Kenya, tuwakamate hawa Gen-Z wa kule

Credits: The Chanzo


 
"Udhalilishaji mtandaoni unafanywa na hao watu wa nje tunasema, lakini zinasambazwa na kwenye mitandao ya Kitanzania, tuko wapi? Kwa nini tunaruhusu hii? Ni udhalilishaji na unaweza kuona kwamba ni udhalilishaji kwa sababu Mama, yaani Rais wetu ni mwanamke," alieleza Mbunge Esther Matiko.

"Lazima tukatae, tukiendelea kujua kwamba sisi sote ni Watoto wa mama Afrika Mashariki, mamlaka za nchi ya Tanzania na mamlaka za nchi jirani, ambapo nimeona, sijaona nchi jirani mamlaka zake zikikemea hili. Mshirikiane, mambo ya ndani ya hapa idara ya mawasiliano na kule Kenya, tuwakamate hawa Gen-Z wa kule

Credits: The Chanzo
hahaha
 
Vipi na kuhusu utekaji, mauaji, dhuluma, uonevu, nk. Tukemee, au tunyamaze?
Wakenya wamesema Watz wengi hawajui hata Katiba yao kwa maana hiyo hawajui hata haki zao!!
Jitu kama Mbunge wa kule Geita Msukuma Kasheku DARASA LA 7 akiongea Bungeni anaonekana ana BUSARA kuliko hata MAPROFESSORS what do you expect!!??
 
images (30).jpeg

Jiraaniiiiiiiiii, kumbe wanaumia 🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom