Mbunge Catherine Magige mbadala wa Lema jimbo la Arusha!

Mbunge Catherine Magige mbadala wa Lema jimbo la Arusha!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Huyu mbunge wa viti maalumu Catherine Magige CCM amekuwa msaada mkubwa sana wa kuwasemea wana A town katika kushughulika na kero zao. Ikumbukwe pia mbunge Lema amekuwa akijihusisha zaidi na mambo ya chama chake na hivyo kulisahau jimbo........Naomba niishie hapo!
 
Huyu mbunge wa viti maalumu Catherine Magige CCM amekuwa msaada mkubwa sana wa kuwasemea wana A town katika kushughulika na kero zao. Ikumbukwe pia mbunge Lema amekuwa akijihusisha zaidi na mambo ya chama chake na hivyo kulisahau jimbo........Naomba niishie hapo!
Wana Arusha wanajitambua zaidi si mapoyoyo wa fikra.
 
Mrisho Gambo amejipanga kugombea nimbo la Arusha kwa kuwa ni mkazi wa Muriet..
 
Bora uishie hapo hapo ulipoishia, lakini kama unataka kusema huyu akawe mbunge wa Arusha basi Rais wetu aongeze bajeti wizara ya afya mbona wagonjwa ni wengi na haya magonjwa ya kusifia na uzalendo wa kuhamia ccm yameongezeka na wagonjwa wanaleta madhara makubwa mtaani.
 
Huyu mbunge wa viti maalumu Catherine Magige CCM amekuwa msaada mkubwa sana wa kuwasemea wana A town katika kushughulika na kero zao. Ikumbukwe pia mbunge Lema amekuwa akijihusisha zaidi na mambo ya chama chake na hivyo kulisahau jimbo........Naomba niishie hapo!

Kicheche nae anakuaga mbadala wa kamanda kama Lema?

Kuweni serious nyie maraia!
 
Wewe unachekesha sana ,Arusha unaijua vizuri ? Kina Lowasa wakiwa ccm pamoja na u alwatan wao walishindwa kumuweka Batilda Buriani ndio itakuwa huyu Magige ambaye hata kuandika hajui ?
 
Majimbo ya kijanja pekee ni yale ya mwanza town. Nyamagana na Ilemela
Wabunge wao hawakai zaid ya maiaka mi 5
Wengine wote ni kelele tu sasa jimbo gani mbunge mmoja ana chaguliwa mara tatu. Kwani hamna watu wa kuongoza huko?
 
naona umeamua kujitekenye na kucheka mwenyewe Lumumba kweli akili zimehamia tumboni kichwa kimekua mzigo mzito sana kwa miguu
 
Kwani kupata ubunge ARUSHA ni kama kuvua chupi???? Kama mnataka kumlia pesa yake kama mlivyomfilisi Batilda Sawa .... tena batilda msomi na kweli mwana Arusha kakulia daraja mbili hakupata tena na pesa alikuwa nayo huwezi kumlinganisha na mdangaji
Huyo Mkuu wa Mkoa sijui nani kuwa na hilo banda lake la mbuzi hapo Muriet naye anataka kusema Ana nyumba ? Ndio Kaishi ARUSHA toka anasoma hapo ACCOUNTANCY Lakini ubunge hapana
Kwani Ilala anakimbia nani na Zungu huenda asihombeee na anajinasibu yeye mtoto wa mama muuza uji kariakoo na chapati anajua kula aende Ilala au kwao Kigoma ushauri tu
 
Majimbo ya kijanja pekee ni yale ya mwanza town. Nyamagana na Ilemela
Wabunge wao hawakai zaid ya maiaka mi 5
Wengine wote ni kelele tu sasa jimbo gani mbunge mmoja ana chaguliwa mara tatu. Kwani hamna watu wa kuongoza huko?
Kwa Mwanza, kama isingekuwa agenda ovu ya uzawa, na uchakachuaji, basi Wenje na Kiwia wangerudi. Na kwa agenda ya uzawa bado kuendelea kutumiwa, basi Mabula na Mabula watarudi tena, wakisaidiwa na ukaribu wao wa mfalme juha.
 
Kwa Mwanza, kama isingekuwa agenda ovu ya uzawa, na uchakachuaji, basi Wenje na Kiwia wangerudi. Na kwa agenda ya uzawa bado kuendelea kutumiwa, basi Mabula na Mabula watarudi tena, wakisaidiwa na ukaribu wao wa mfalme ****.
Naweza kukubaliana na wewe kuwa pengine kulikuwa na ajenda ovu
Ila mi nakumbuka hata watu walikuwa wana mwambia wenje abadilishe jimbo kwa nyamagana hata rudi.na hata kabla ya wenje jamaa walikuwa wana pokezaba hvo hvo
 
Tukiongelea majimbo ya watu wanao jitambua, na awaangalii umaarufu wa mtu wanachotaka ingia tekeleza ahadi na wabunge wengi toka uhuru, hata wakati wa chama kimoja hadi vyama vingi ni Mwanza, yaani majimbo ya Nyamagana na Ilemela peke yake mbunge hudumu kipindi kimoja tu. Haijawahi tokea mbunge kukaa zaidi ya muhula mmoja. Masha na Wenje walisema wangevunja hilo lakini walishindwa. Hivyo Arusha kujisifia ni wajanja sidhani wamekaa kishabiki badala ya kuangalia mbunge kafanya nini. Ok Lema Arusha ni yako tena.
 
Back
Top Bottom