johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,600
Huyu mbunge wa viti maalumu Catherine Magige CCM amekuwa msaada mkubwa sana wa kuwasemea wana A town katika kushughulika na kero zao. Ikumbukwe pia mbunge Lema amekuwa akijihusisha zaidi na mambo ya chama chake na hivyo kulisahau jimbo........Naomba niishie hapo!