Mi nilijua Komba ni darasa la 7,kumbe msomi kabisa!
Nilimuliza rafiki yangu Mapunda eti "Komba" jina lina maana gani? Akasema ni mnyama,nikamuuliza huyo mnyama huwa anafugwa akasema hapana,hafugiki,nikawaza huenda jina walilompa j.komba ndiyo linamtesa ndiyo maana kila akiwaza anatamani kwenda msituni sababu ndiko komba wanakozaliwa,wanako kulia na kuishi maisha yao yote!
Huyo Mnyama Komba anapatikana sana Pwani hususani pale penye Minazi Mingi ,huyo Mnyama hupendelea Kunywa Pombe ya Mnazi akishiba husinzia na kuanguka Chini .
Mbunge wa mbinga magharib bado anaendeleza siasa zake kupitia makanisa mbalimbali yaliyoko jimbon mwake, moja ya mambo anayoyaongea akiwa ndani ya makanisa anayopita ni km yafutayo:
"....,ndugu zangun muda si mrefu humu kanisan nitawaletea kipaza sauti, kinanda pamoja na mishumaa..."
hafu huyu mbunge anatembeleaga kanisa moja tu na siyo mathehebu yote au dini zote..sasa najiuliza hicho kipaza sauti, kinanda na mishumaa kitamsaidia nn mkulima,kitamsaidia nn mfanyabiashara, kitamsaidia nn mvuvi, kitamsaidia vp mwanafunzi, yatima & mjane?..
kwa nn asiboreshe miundombinu ambayo itamsaidia kila mwananch!
SINA UHAKIKA NA ELIMU YAKE! Nawasilisha
Mi nilijua Komba ni darasa la 7,kumbe msomi kabisa!
amezaliwa 1954 amegraduate 2008. hujiulizi? tumia uwezo wako wa kufikiria vizuri mkuu.Mi nilijua Komba ni darasa la 7,kumbe msomi kabisa!
awahi msituni kwenda kunya? au?.......Bado yupo mujini ?
Mwambie awahi msituni..anachelewa
<br>Ajenge miundo mbinu ya nini wakati yeye anataka kujihamishia makazi msituni??