Mbunge wa Mbinga Magharib bado anaendeleza siasa zake kupitia makanisa mbalimbali yaliyoko jimboni mwake, moja ya mambo anayoyaongea akiwa ndani ya makanisa anayopita ni km yafutayo:
"....,ndugu zangunI muda si mrefu humu kanisanI nitawaletea kipaza sauti, kinanda pamoja na mishumaa..."
Halafu huyu mbunge anatembeleaga kanisa moja tu na siyo madhehebu yote au dini zote..sasa najiuliza hicho kipaza sauti, kinanda na mishumaa kitamsaidia nini mkulima,kitamsaidia nini mfanyabiashara, kitamsaidia nini mvuvi, kitamsaidia vipi mwanafunzi, yatima & mjane?.
Kwanini asiboreshe miundombinu ambayo itamsaidia kila mwananch!
Anyway naye uwezo wake wa kufikiri umeishia pale, kwa Mungu anaweza kupata thawabu lakini kwa wananchi anaweza pia kuvuna anachokipanda.Badala ya kuwawekea Solar power, yeye analeta mishumaa kweli!!!!!!!!!.Lazima aingie msituni huyu akinyimwa ubunge 2015, Ni muasi mtarajiwa.
Top 3 ya Wabunge Vilaza na Wajinga kupindukia ni 1- Capt John komba , 2- Dr Hamis K ,mbunge wa Nzega 3- Livingstone Lusinde , Hawa ni aina ya Wabunge ambao hawafai hata Kuwa Wajumbe wa Nyumba 10 hususani Huyo Komba mwenye Tumbo Kama anakunya Humo humo mda mwingi Akiwa Bungeni huwa anasinzia na akikurupushwa huishia kuropoka bila kujielewa ! Chezea Mafuta wewe..... !
Huyo Mnyama Komba anapatikana sana Pwani hususani pale penye Minazi Mingi ,huyo Mnyama hupendelea Kunywa Pombe ya Mnazi akishiba husinzia na kuanguka Chini .
watu mbinga nawaonea huruma sana chague watu walifanya kitu hata wao binafsi shule yake ya Bakili Muluzi tena alipewa msaada na raisi wa malawi imekufa utegemee maendeleo jimbo zima....kuna watu wengine umaskini ni haki yenu
Mbunge wa mbinga magharib bado anaendeleza siasa zake kupitia makanisa mbalimbali yaliyoko jimbon mwake, moja ya mambo anayoyaongea akiwa ndani ya makanisa anayopita ni km yafutayo:
"....,ndugu zangun muda si mrefu humu kanisan nitawaletea kipaza sauti, kinanda pamoja na mishumaa..."
hafu huyu mbunge anatembeleaga kanisa moja tu na siyo mathehebu yote au dini zote..sasa najiuliza hicho kipaza sauti, kinanda na mishumaa kitamsaidia nn mkulima,kitamsaidia nn mfanyabiashara, kitamsaidia nn mvuvi, kitamsaidia vp mwanafunzi, yatima & mjane?..
kwa nn asiboreshe miundombinu ambayo itamsaidia kila mwananch!
ni mwanamziki, nadhani anacho cha ziada ktk store yake. yawezekana pia ndo anapata faraja sana akihudhuria ibada ambayo muziki wa kwaya una vyombo hivi. hayo makundi mengine uliyoyataja yanaweza kuwa sehemu ya huko alikoahidi kupeleka huo msaada;
hakuna msaada ambao watu wote wanauhitaji kwa wakati mmoja.
Ni busara kuahidi anachoweza kuliko kuwaambia kuwajengea daraja ama kuwanunulia kivuko kitu ambacho anajua kabisa hataweza kutimiza.
Nilimuliza rafiki yangu Mapunda eti "Komba" jina lina maana gani? Akasema ni mnyama,nikamuuliza huyo mnyama huwa anafugwa akasema hapana,hafugiki,nikawaza huenda jina walilompa j.komba ndiyo linamtesa ndiyo maana kila akiwaza anatamani kwenda msituni sababu ndiko komba wanakozaliwa,wanako kulia na kuishi maisha yao yote!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.