Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Aliyekuwa mbunge wa kilwa mh Bungala a.k.a Bwege aliwahi kuonya suala la maji.
Kwa aliyo yasema pale bungeni naomba kila mmoja wetu amsikilize hapa kwenye clip yake.
Waziri Makamba unawakwaza watamzania kwa kitendo chako cha kushindwa kusimamia idara za maji.
Kwa aliyo yasema pale bungeni naomba kila mmoja wetu amsikilize hapa kwenye clip yake.
Waziri Makamba unawakwaza watamzania kwa kitendo chako cha kushindwa kusimamia idara za maji.