babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,113
- 16,025
hivi hawa waheshimiwa huwa wanakosa kazi??we mbunge mzima unaenda kuhudhuria na kukabidhi taji watoto wa kiume wanaonyonga viuno km mashoga kwa dola 250,inaingia akilini kweli?ningemshauri huyu jamaa akazane kutembelea hata wadi za wagonjwa na mambo mengine kuliko upuuzi huu,lakini sishangai km rais mwenyewe anaenda kusimama na wachina kwaajili ya msaada wa yebo yebo na baskeli shang sheng mbunge atafanyaje?ndo viongozi wetu hawa.