PreGE2025 Mbunge awasilisha hoja ya dharura kwa Naibu Spika bunge lijadili penati za Simba! Wakati hoja ya Utekaji ilipigwa stop!

PreGE2025 Mbunge awasilisha hoja ya dharura kwa Naibu Spika bunge lijadili penati za Simba! Wakati hoja ya Utekaji ilipigwa stop!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Wakuu mnakumbuka hoja ilipowasilishwa bungeni ili kujadili kuhusu masuala ya usalama nchini na utekaji uliokithiri mpaka kusababisha kifo cha Ali Kibao? Nini kilitokea?

Tulia alishupaza shingo, utekaji likawa jambo la kipuuzi, ambalo halifai kwenda kwa hati ya dharura, halafu hapa kila mbunge akiamka anakenua meno Simba Simba!

Soma, Pia: Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Wabunge ni kweli mpo bungeni kutuwalisha sisi pamoja na maslahi yetu? Tunakatwa hela kila siku afu anakuja mpuuzi mwanzo mwisho kumsifia rais, na kuongea mambo ambayo hayana maana.

Mimi ni shabiki wa Simba lakini huu ni upuuzi na upumbavu wa kiwango cha lami.

====

Mbunge awasilisha hoja ya dharula kwa Naibu Spika, Mussa Zungu, kwamba bunge lisimame kujadilidili penati za Simba.

 
Na raia jimboni watamchagua arudi bungeni?!
Inashangaza sana sana sana
😠😡😤😠😡😤
 
Dah,tumekwama pakubwa sana!
FB_IMG_1742635116630.jpg
mbunge mwenyewe alipokuwa anawasilisha hoja yake
 
Na raia jimboni watamchagua arudi bungeni?!
Inashangaza sana sana sana
😠😡😤😠😡😤
Hizi akili unazoziona kwa viongozi ndio zinareflect akili za wanaowaongoza!! Hii nchi kusema watu wataleta mabadiliko ni kujidanganya!
 
Lengo ni kututoa kwenye tension ya kukamatwa kwa Lissu

NO REFORM NO ERECTION
Hayo ya simba ya penalti za simba yanagusa watu wengi wenye vyama wakiwemo Chadema na wasio na vyama
Hilo la Lisu ni la baadhi ya watu tu

Ushabiki wa Simba na Yanga ni mkubwa kuliko wa chama chochote

Lisu hawezi kututoa kwenye Reli kujadili penalt8 za simba kama nchi na wananchi

Penalti za simba jana ndio habari kuu ya nchi kwa sasa
 
Back
Top Bottom