Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Mbunge wa upinzani kutoka nchini korea ya kusini amemrushia spika bomu la machozi baada ya bunge hilo kupitisha hoja ya biashara huria kati ya nchi hiyo na marekani
Wamrushie Bi Kiroboto maana anakera sana.
kali ya mwaka hiyo. nzuri kwa wakandamizaji kama CCM
kali ya mwaka hiyo. nzuri kwa wakandamizaji kama CCM
kwa hiyo mbunge huyu alikuwa tayari analo bomu kibindoni, alishapanga kutekeleza!.....this ia aden rage ccm..type kupanda na bastola jukwaani!
this is Dr slaa chadema type alipokutwa katikati ya spika kule Arusha akiwa na bastola na risasi 17