Mbunge amkaanga Kangi Lugola kutetea mashoga; Waziri asema alinukuliwa vibaya

Johnny Sack

JF-Expert Member
Jan 21, 2017
8,725
18,620
Mbunge wa Konde Zanzibar Khatib Hajj, amehoji kauli za serikali ambazo zilikuwa kwa namna moja ama nyingine zikionyesha msimamo laini ama kutokukemea ya ushoga nchini

Mbunge huyo ameshangaa pamoja na utajiri wa Tanzania tulio nao tunashindwa kusimamia mambo tunayoyaamini kisa tunahofia tutanyimwa misaada

Kangi Lugola alisimama na kusema inawezekana alinukuliwa vibaya kwani Tanzania ina sheria tayari ya kuadhibu watu wanaotumia viungo vyao vya mwili kinyume na asili na kuwa Tanzania ni hekalu la Roho Mtakatifu

 
Hawa wazanzibari wanafiki, mbona hawakpigia kelele yule kiongozi mstaafu ambaye alikuwa shoga
 
Mambo haya yanapaswa kuzungumzwa kutokana na sheria nchi na za Kimataifa. Sio swala la matakwa ya wasikilizaji. Alichofanya Mh. Waziri Lugola yupo sahihi .
 
Chama kimepoteana, hakijulikani mbele wala nyuma. Kila mtu anaongea anachotaka, halafu mwisho wa siku wanabanwa kwenye kona na kujiuma uma tu.
 
Kangi aliyesema mashoga wako salama wakikutana na Lugola aliyesema alinukuliwa vibaya watapigana sana hadi mmoja afe. mlio karibu na hao watu hakikisheni hawakutani ili kuepusha maafa.
 
Sio kangi pekee na shangazi F karume itakua imengusa maana ndo watoa kauli za mashoga
 
Wacha wa parurane tu maana wao ndo wanaomlea DAB mhujumu uchumi shoga anayewachukia mashoga na kutaka wafanyiwe yaliyo kinyume cha sheria. Wacha waparurane mpaka akili ziwarudie!
 
Mbunge amemkanya vikali Waziri Lugola na waziri wa mambo ya nje kwamba kuna jambo wanalijua juu ya ushoga, na wanapata kigugumizi kukemea, wanajibu kwa ujanja ujanja,

"Nchi yetu ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar , kwa Zanzibar asilimia 99 ni waislamu na awasapoti ushoga, hivyo mtuombe radhi"

 
Mbunge amemkanya vikali Waziri Lugola na waziri wa mambo ya nje kwamba kuna jambo wanalijua juu ya ushoga, na wanapata kigugumizi kukemea, wanajibu kwa ujanja ujanja,

"Nchi yetu ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar , kwa Zanzibar asilimia 99 ni waislamu na awasapoti ushoga, hivyo mtuombe radhi"


Hata Bara atutaki akomae nao Lugola
 
Kama serikali ina ubavu wa kukataa mashoga waanze kuwapima marinda mabalozi wote wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini...bana wee, tunapokea misaada ya mashoga means tunaunga mkono..Njaa mbaya.
 
Mbunge amemkanya vikali Waziri Lugola na waziri wa mambo ya nje kwamba kuna jambo wanalijua juu ya ushoga, na wanapata kigugumizi kukemea, wanajibu kwa ujanja ujanja,

"Nchi yetu ni muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar , kwa Zanzibar asilimia 99 ni waislamu na awasapoti ushoga, hivyo mtuombe radhi"


Nimeipenda hii walahi
Ushoga hatuuutakiiii walahi
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom