Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
Ni mbunge wa Kilwa Suleiman Habib Ngala alipokuwa akisisitiza umuhimu wa maji, huku akisema serikali imekuwa ikitoa ahadi lukuki kuhusu maji lakini hadi leo kuna tatizo kubwa, na jimboni kwake upatikanaji wa maji ni 48.3%