Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,504
- 12,176
Trump sio Rais wa TanzaniaDonald Trump.
Wamarekani wapambane nae.
Sisi tunaangalia hapa kwetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Trump sio Rais wa TanzaniaDonald Trump.
Umesoma comment yangu vizuri au unakurupuka tu hivi nyie viwavi mnatatizo gani kichwani Soma Tena halafu ucommentkwa hiyo kwa sababu ni kwenye jimbo lake basi aruhusiwe afanye mikusanyiko? au hao viongozi wengine walio kabidhiwa zoezi basi wao wanaruhusiwa kufanya mikusanyiko
Bora iwe mashindano hili wananchi wafaidike.kwani imekuwa mashindano mkuu,..?
Mzee kastuka baada ya maza kugawa barakoa, unasema hapendi kiki kwani hilo gari limeandikwa limetolewa na Nguvu wa jf?Huoni ni jambo jema? Palikuwa na upotoshaji sana wakati mzee wa watu alifanya jambo kubwa kuliko huyo mama na akajikausha tu.
Wapambe wa Devota wamemharibia kuanza kumtusi mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikra za kiupagazi haziwezi kwisha hata kama utumwa uliisha.Acha uongo na chuki ewe kiwavi jeshi
Yapi.
Hiyo sio muhimu na sidhani kama ni muafaka nilifahamu.
kama nisinge isoma nisinge kuquote,haya hoja yako ni ipi na kipi unacho kitetea zaidi,mana kama ni mikusanyiko wote wamesababisha mikusanyiko iwe ni kwenye jimbo lake au wapi mikusanyiko kipindi hiki cha corona hairuhusiwi,pia viongozi walio kabidhiwa kuzigawa mikusanyiko hairuhusiwi mbona wanatafta cheap populality waonekane wanajaliUmesoma comment yangu vizuri au unakurupuka tu hivi nyie viwavi mnatatizo gani kichwani Soma Tena halafu ucomment
Abood amekabidhi kwa viongozi wa manispaa hajawakusanya hao wanainchi nakuwapa mmoja mmoja huyo dada anapita kukusanyanya watu msururu na kuwagaia huoni tofauti hapokama nisinge isoma nisinge kuquote,haya hoja yako ni ipi na kipi unacho kitetea zaidi,mana kama ni mikusanyiko wote wamesababisha mikusanyiko iwe ni kwenye jimbo lake au wapi mikusanyiko kipindi hiki cha corona hairuhusiwi,pia viongozi walio kabidhiwa kuzigawa mikusanyiko hairuhusiwi mbona wanatafta cheap populality waonekane wanajali