Mbuga ya Burigi - Chato

Hujataja wanyama, ndege nk waliomo humo Burigi
 
Hizi ndo kesi za kifisadi tutakazosikia kwa mara ya kwanza Rais wa Tanzania anashitakiwa nazo na anasoteshwa rumande kama yeye anavyowasotesha akina Rugemalira nk...yan mtu ameamua aanzishe pori la kuwinda nyumbani kwao? Gbadolite in Sukumaland, sad!
 
Complete idiot...kwani uliwahi kusikia wachaga walihamisha wanyama kutoka Chato kuwapeleka Kilimanjaro? Kwanini hao wanyama hawakuzaliana Chato in first place?
 
E

Endeleza jitihada wakubwa watakuona....
Laiti ungelijua ukomo wa Kimisi na Jiografia ya Burigi ungekuja na kitu tofauti... chunguza kisha peleleza upate uhalisia hukatazwi kuunga mkono juhudi
We sijui unabisha nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…