Mbowe, Zitto baada ya Dreamliner kutua India..[emoji2]

Sijaweza kukuelewa. Yaani kama ikitua Mumbai wataachwa huko au?? Unataka kutuambia kuwa hao jamaa walishaweka madege yao huko useme soko litapungua au??
Nadhani tatizo sio kutua Mumbai bali ni kuikamata hiyo njia kwa muda mrefu. Kumbuka Kenya Airways haijawahi kupata faida japo walituibia ndege zetu na kuzitaifisha
 
Wajinga tu watakubaliana na wewe!
Hata ikitua sayari ya Mars, Mbowe, Zt na watanzania wote kwa ujumla wanahitaji Lisiti. Kama unanunua bia au chips (viaz) unapewa Lisiti tena za EDF kwanini ununuzi wa hizo ndege hauna Lisiti hata zakuandika kwa mkono tu!
Tunahitaji CAG akague kama alivyokagua miradi mingine!
 
Wewe ni ZWAZWA kweli kwani walisema halita paa? kwa nini lisipae wakati lina uwezo huo? Mzee baba amka linapaa kwa hasara, yaani hili shirika ni janga au hujasoma ripori ya CAG? Linapaatu kama kunguru apaavyo kwani analeta faida nchi gani kunguru?
 
wengi wametekwa baada ya kujaribu kuulizia bei ya Ndege hizi
 
Risiti sio lisiti! Vita yangu ni nyinyi 'products' za shule na vyuo vya kata msiojua kuandika vizuri
 
Kupanga ni kuchagua ni sawa na kuendesha gari ya tsh/m 200 na kuishi kwenye quarters ya vyumba viwili na familia yenye watoto kumi.

Kwa serikari muhimu ni kumiliki ndege walianza kusema watanzania na donors wamerudia this is an investment with low returns not worth it kwa nchi yenye limited resources.

Kwa upande wa Tanzania tumeshaelewa serikari aifikirii in terms of investment returns hapa ni show off tu.

Kupanga ni kuchagua
 
sasa mbowe na dream liner kuna uhusiano gani???🤣🤣🤣 Mungu awez kukunyima kila kitu asipokupa akili atakupa ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…