Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
Toka kampeni zianze umekuwa mpole sana, hauna furaha, unafanya kampeni ili kukamilisha ratiba tu body language yako inaongea tatizo nini kaka?
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowassa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.
Nimekuzoea ukitema cheche cha kuchangamsha kampeni safari hii mbona umekuwa wa baridi kuliko 2015.
Jana mtu mmoja aliniambia Mbowe alikuwa na furaha 2015 Kwa sababu hizi.
Mgombea wa CHADEMA ndugu Lowassa alikuwa anauzika kwa Wananchi tofauti na huyu aliyepo waliemteua kama zawadi kutokana na kujeruhiwa kwa risasi.
Pia mgombea wa CHADEMA alikuja na pesa ya kampeni Kwahiyo Mbowe hakutumia pesa za CHADEMA katika kampeni tofauti na mgombea wa mwaka huu kapewa pesa ya kukidiwa ndege tu kule alikotoka na pesa zingine atapewa akishinda Urais.
Mgombea wa 2015 alikuwa na urafiki na wakuu wa wilaya na wakurugenzi hali iliyowasaidia CHADEMA kupata wabunge kiasi.
Km tunavyojua Mbowe alitaka sana Membe ndio awe mgombea wa CHADEMA kwasababu angekuwa ni assets kwa CHADEMA ila Mbowe safari alishindwa nguvu na makamanda wasiokuwa na jicho pana kisayansi.
Pole sana Mbowe ningekushauri urudi jimboni kwako ukakae kule upige kampeni mnaweza kukosa jimbo hata mmoja mwaka huu, sioni jimbo gani mtashinda mwaka huu.
Pole Mbowe umeletewa mgombea ambaye sio chaguo lako.