Kuweni na hekima na kujua kuwa Mbowe anajaribu kuonyesha kuwa wamechoka na maonevu hivyo busara itumike kuepusha mabaya.
Hivi akihamasisha watu wajitokeze kudai haki yao ya waliowachagua itakuwaje? Fikiria watu kama wale waliomsindikiza Lowasa wakiandamana kuna POLICE wa kuzuia hayo? Hata kama watayatawanya jiji litapona kweli? Nafasi hiyo itatumiwa na wezi na majambazi na vifo havitakuwa na idadi.
Tujifunze kuhurumia wengine kwa kukwepesha maafa yasiyo sababu. Hongera Mbowe kwa kuliona hilo, ila kwa vile wamejaa upofu yakitokea wewe hauhusiki