Rhobi1961
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 888
- 681
Nilitaka kukuacha kukosoa ulicho andika ila naona makosa yanazidi sasa basi kwenye post yako ya kwanzaNimegundua chadema njaa kali, wapo kama vinyonga.
Nilikuwa muda mrefu sana namtafakari Dr . silaha kumbe anawezo mkubwa sana wa kufikiria Dr.
Yale mliyokuwa manayapinga ndio yanayotetewa leo na mabwege hawa. .cina Chama kuanzia leo..
Chama langu Magufuli ndio nishasemaaaaa
Dr. Slaha = Dr. Slaa
laini =lakini.