Unajua mimi naona kujiita Chadema kumekua fashion sasa. Kuna watu huku wanajiita Chadema au mashabiki wa Chadema ila nina mashaka na kujitolea kwao kwa chama nje ya maisha ya mtandaoni.
akili ndogo ya mbowe div 0. anaongoza akili kubwa.maprof na ma phd chamani.
Jazba zipi? Nilikuwepo mkutanoni...
Vipi tukikuchagua wewe? Au huchaguliki?
Mna matatizo nyie mnaomponda Mbowe.....tatizo lenu mmezoea siasa za matusi jukwaani, mtu asipotukana akiongea mambo yanayotakiwa kwa wananchi mnaanza kumponda, ndio maana hamuendelei. pambavu
Tunapoteza tu muda ila ukweli ni kwamba CDM chini ya MBOWE ni uchagga tu hakuna lolote, Bwana RITZ hivi hawa jamaa na sera yao ya UKANDA vipi? mbona tunakubaki kugawanywa kirahisi hivi?
Tatizo huyo gamba hasemi ni jazba zipi alizozionyesha. Mbona tulikuepo mkutanoni?Ndugu yangu Chadema uwa hawakosolewi.
Yaan umeondolewa bikra kote unakimbilia humu unadhani ndo kificho!
Anza upya umepotea wewe
Tatizo huyo gamba hasemi ni jazba zipi alizozionyesha. Mbona tulikuepo mkutanoni?
Umekujaa udini huoni hata aibu.Ukishakuwa kabila fulani fulani au dini fulani usipojiita CDM unapopolewa mawe, so watu wanalinda maisha yao
kufuru hizi unataka kufananisha Yesu na kuyu taller wa benki, hawa si ndo watoza ushuru ambao yesu aliwaona?Mkuu hilo lisikutie shaka kabisa.................................. manake hata Yesu Kristo alikuwa profesor wa maprofesor, japo hakukanyanga mlango wa darasa
Ulikuepo mkutanoni au unadandia tu mambo?Acha hizo bana, wewe siyo MBOWE, Mbowe hajui kiswahili kiasi hicho
Ritz - si hitaji kuungwa mkono na watu wa aina yako....
fredie - sidhani kama ni sawa kutoa siku kadhaa hili na hili liwe limetendeka na kwa jazba namna ile. Kwa mfano CCM wakiwanyima kibali cha hayo maandamano si kuna hatari hapo, kwa nini asitumie political pressure (kusema mabayo ya CCM na serikali yake) bila kuhatarisha maisha ya watu
Mkuu hilo lisikutie shaka kabisa.................................. manake hata Yesu Kristo alikuwa profesor wa maprofesor, japo hakukanyanga mlango wa darasa
akili ndogo ya mbowe div 0. anaongoza akili kubwa.maprof na ma phd chamani.
Naandika ukurasa huu nikiwa kwenye mkutano wa CHADEMA, na wakati huu Mh Mbowe ndiye anaongea.
Naomba nikili kuwa mimi ni mpenzi wa CHADEMA lakini kwa uhakika Mbowe hawezi kuwa mwenyekiti wa chama kilichoko madarakani, ninaamini kuna wanachama wengine wanaoweza kuiongoza CHADEMA kuwa chama tawala lakini siyo Mbowe kwa sababu anajazba na papara zaidi kuliko kujenga hoja.
Naomba niwashauri wale wanaochagua mwenyekiti wamchague hata Baregu, au hata Mkumbo lakini Mbowe?? Mmmhhh
Dalili za kuishiwa HOJA hizi!... ongea kioja sio TAARABU HAPA.....Mkuu Ntemi Kazwile, CHADEMA ni ya baba mkwe wake Mh. Mbowe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Tunapoteza tu muda ila ukweli ni kwamba CDM chini ya MBOWE ni uchagga tu hakuna lolote, Bwana RITZ hivi hawa jamaa na sera yao ya UKANDA vipi? mbona tunakubaki kugawanywa kirahisi hivi?