Shabobabo
JF-Expert Member
- Nov 26, 2008
- 252
- 63
Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mbowe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.