View attachment 188034
View attachment 188043
Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mbowe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.
Kichwa cha habari umekiona. Pinga hoja. Ndio maana CCM inawashinda. Kama hamuamini kwa mwendo huu mtasikia kishindo 15.
Hoja iko wapi? Au unataka kutuambia mtazamo wako ndio hoja ya kujibu? Pole sana kwani sio kosa lako, ni mfumo wa Elimu ndio kikwazo kwani unazalisha wahitimu wasioweza kufikiri na kujenga hoja kama wewe!Kwa kweli mimi kama mtu nisiye mwana siasa nimegundua jambo moja limenifanya nitofautishe kati ya Mbowe na Kinana. Mh. Kinana alipochaguliwa kuwa katibu akapanga mkakati wa kukijenga chama kwa kuzunguka kila kona ya nchi mpaka kule watangulizi hawajawahi kufika kuhakikisha watu wanarudisha imani na chama
Kwa upande wa pili Mboe anachaguliwa anatangaza maandamano ya nchi nzima. Ukiangalia wanaondamana ni wale walaji wa mjini aka wachumia matumbo.
Ni mtazamo wangu.