Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,761
- 40,974
Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Wilbroad Slaa, amezungumza na KLH News leo na kuzungumzia kwa kina kilichomtoa Kaborou Chadema na hali ya kisiasa na kimaisha ya Tanzania! kwa uwazi anasema juu ya majaribio ya CCM kuwarubuni wanachama wa Chadema kujiunga na chama hicho tawala!! Mazungumzo yatarushwa Ijumaa.
Usikose!
Usikose!