Mbowe na gari ya waziri wa ujenzi ,

Mbowe na gari ya waziri wa ujenzi ,

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1444391226.731519.jpg
 
Hapo atakuwa ametoka kumuomba mzee apunguze makali ya kampeni maana hali ya sasa ni mbaya na inakatisha tamaa
 
Hiyo picha ya lini?Tuanzie hapo kwanza.
Pili sio kwamba kisa wako vyama tofauti ndio wawe maadui,kawaida tu mbona?

Tatu, Hilo ni gari la serikali. Magufuli wala CCM hawana hati miliki nalo.

Kwa ufupi hiyo picha ni yawakati Magufuli alipokuwa jimboni Hai kwa ukaguzi wa shughuli za wizara.
 
Kwani hii picha mbona kama photoshop...?

attachment.php

Kwa ninavyojua SIASA zetu za MAJI TOPE hii Picha ITAKUWA na MADHARA makubwa mno KISIASA kwa Mbowe na UKAWA yake. Sasa hivi jambo lolote tu hata liwe dogo LITAKUZWA ili kuleta IMPACT na mnaojua SIASA vizuri hizi wiki karibia mbili zilizobaki ndiyo huwa zina MAANA hata kuliko siku za mwanzo mwanzo wa KAMPENI. Hizi wiki mbili ni kama vile katika Mpira sasa tupo katika zile dakika 3 au 4 tu za NYONGEZA.
 
Kwa ninavyojua SIASA zetu za MAJI TOPE hii Picha ITAKUWA na MADHARA makubwa mno KISIASA kwa Mbowe na UKAWA yake. Sasa hivi jambo lolote tu hata liwe dogo LITAKUZWA ili kuleta IMPACT na mnaojua SIASA vizuri hizi wiki karibia mbili zilizobaki ndiyo huwa zina MAANA hata kuliko siku za mwanzo mwanzo wa KAMPENI. Hizi wiki mbili ni kama vile katika Mpira sasa tupo katika zile dakika 3 au 4 tu za NYONGEZA.[/
WEWE WASEMA!
 
Kaka alimuita jembe atashindwa panda gari yake,wanamshobokea balaaa
 
mbona mlirant sana zito alipokutana na iongozi wa ccm.kwa huyu si hatare.
 
Hiyo picha ya lini?Tuanzie hapo kwanza.
Pili sio kwamba kisa wako vyama tofauti ndio wawe maadui,kawaida tu mbona?

Mmh! ni kawaida? Mbona tunaambiwa Slaa amenunuliwa kisa kaonekana na Mwakembe Serena Hotel? Hapana, keshanunuliwa huyo...ngojeni tutasikia...
 
Mmh! ni kawaida? Mbona tunaambiwa Slaa amenunuliwa kisa kaonekana na Mwakembe Serena Hotel? Hapana, keshanunuliwa huyo...ngojeni tutasikia...

Unadhani Mbowe ana shida kama kile kibabu kizinzi Slaa?
Wewe na ukoo wenu wote hakuna anayeweza kumnunua kamanda Mbowe.
Sio kila mtu ana bei,acha kuishi kimazoea.
 
Back
Top Bottom