Mbowe: Lissu amefanyiwa upasuaji mara 14

Mbowe: Lissu amefanyiwa upasuaji mara 14

Ungewapenda wazazi wako kiasi hiki.....peponi ungekaa na Yesu kristo! [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Binaadamu wote ni sawa kila mmoja Anahaki ya kuishi!!
siyo wazazi wangu tu ata mama yako anahaki ya kuishi kama ambavyo Lissu ana haki ya kuishi salama bila kutishiwa uhai wake!!
Anahaki ya kulindwa pengine zaidi ya baba yako maana faida yake ni kubwa kuliko faida au mchango ambao baba yako anaweza kutoa kwenye taifa !
 
Binaadamu wote ni sawa kila mmoja Anahaki ya kuishi!!
siyo wazazi wangu tu ata mama yako anahaki ya kuishi kama ambavyo Lissu ana haki ya kuishi salama bila kutishiwa uhai wake!!
Anahaki ya kulindwa pengine zaidi ya baba yako maana faida yake ni kubwa kuliko faida au mchango ambao baba yako anaweza kutoa kwenye taifa !
Mbali ya taifa....jimboni kwake amefanya nini?tatizo mnamkuza bado kidogo mtamuita Mungu!
 
Great words.... Hata mm naweza kupeleleza na kuAkata wahusika wote..... Ni jambo rahis sana endapo serekali inataka kweli wahusika wakamatwe
 
Mbali ya taifa....jimboni kwake amefanya nini?tatizo mnamkuza bado kidogo mtamuita Mungu!
Hivi Magufuli, Mkapa, Kikwete, Mwinyi, Nyerere wao walifanya maendeleo gani kwenye majimbo watokako.

Kwa kuwa Nyerere hakupeleka Barabara za Lami kule atokako ndiyo asiheshimiwe. Halafu Lissu unauliza kafanya nini kwenye jimbo lake, kwani yeye ndiye anayekusanya kodi ama unataka atoe wapi hela za "kuliendeleza" jimbo lake?
 
Hivi Magufuli, Mkapa, Kikwete, Mwinyi, Nyerere wao walifanya maendeleo gani kwenye majimbo watokako.

Kwa kuwa Nyerere hakupeleka Barabara za Lami kule atokako ndiyo asiheshimiwe. Halafu Lissu unauliza kafanya nini kwenye jimbo lake, kwani yeye ndiye anayekusanya kodi ama unataka atoe wapi hela za "kuliendeleza" jimbo lake?
Unamfananisha lisu na marais wa nchi hii !level yake ni Urais wa TL, TFF Simba au Yanga. ......usimkuze kupita kiasi
 
Back
Top Bottom