Dkt.Lazaro ni kiboko yao.Ata pale chuo kikuu anakubalika sana
Huyu hapa kijana anakwenda kumg'oa mbowe kwenye jimbo lake, kijana ni hatari sana. Anajulikana kwa jina la Revocatus Lazaro atasimama kwa kiti cha CCM.
Kuna kipindi Dkt.Revocatus alitaka kugombea urais wa TFFYaani sipati picha. Anakubalika kila sehemu mkuu.
Ccm mna chekesha sana. Yaani atajipigia kura mwenyewe au?? Mna chekesha walio lala nyieHuyu hapa kijana anakwenda kumg'oa mbowe kwenye jimbo lake, kijana ni hatari sana. Anajulikana kwa jina la Revocatus Lazaro atasimama kwa kiti cha CCM.
Nendeni na chuo kupiga kuraDkt.Revocatus Lazaro ni kiboko yao.Ata pale chuo kikuu anakubalika sana
Dkt.Revocatus Lazaro ni kiboko yao.Ata pale chuo kikuu anakubalika sana
Mavi ya mbuziii.....Huyu hapa kijana anakwenda kumg'oa mbowe kwenye jimbo lake, kijana ni hatari sana. Anajulikana kwa jina la Revocatus Lazaro atasimama kwa kiti cha CCM.
Murro hakubaliki pale Hai...what about Jerry Muro?
..na yeye si amekuwa akijipitisha-pitisha huko jimboni?
Ni yule yule Dkt.Revocatus wa pale Moshi mjini.Ametoa misaada mingi pale hai.Wengi wamemkubali.Nyota yake imeng'aaMzee yupi kwani, ni kijana tu mwangalie fb ameweka profile picture ya rais Magu, kijana huyu ni hatari sana