Cathelin
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,071
- 3,992
Kubali kataa, kesi Mbowe ilimuweka pabaya Sana Samia. Sema CCM walikuwa wanajikosha kana kwamba hakuna shida.
Samia alipokuwa anapost kitu Tweeter, kwenye comments 200, comments 150, zilikuwa zinahusu Mbowe sio gaidi. Hapa jamii forum ilikuwa ni Mbowe tu.
Samia alipokwenda nje, interview alizofanya na VOA, BBC n.k, Swala la Mbowe lilitawala Sana, last year kwenye ziara ya UN, hadi US department of state, walikataa aonane na Biden.
Baada ya Mbowe kuachiwa, hadi mazuri ya Samia yanaanza kuonekana,, kwenye mitandao kumepoa tulii.
Samia now amebadilika, anamzungumzia Mbowe kwa staha(refer interview na kikeke ya Jana), sio Kama mwanzoni, maana mwanzoni alimzungumzia Mbowe, utadhani Mbowe ni mtu wa kawaida. Na ata walioandaa kesi hawakutegemea consequences za hii kesi.
Serikali now mjifunze kuishi na wapinzani maana mkiwapa mikesi ya uongo na nyinyi hamtaishi kwa amani
Samia alipokuwa anapost kitu Tweeter, kwenye comments 200, comments 150, zilikuwa zinahusu Mbowe sio gaidi. Hapa jamii forum ilikuwa ni Mbowe tu.
Samia alipokwenda nje, interview alizofanya na VOA, BBC n.k, Swala la Mbowe lilitawala Sana, last year kwenye ziara ya UN, hadi US department of state, walikataa aonane na Biden.
Baada ya Mbowe kuachiwa, hadi mazuri ya Samia yanaanza kuonekana,, kwenye mitandao kumepoa tulii.
Samia now amebadilika, anamzungumzia Mbowe kwa staha(refer interview na kikeke ya Jana), sio Kama mwanzoni, maana mwanzoni alimzungumzia Mbowe, utadhani Mbowe ni mtu wa kawaida. Na ata walioandaa kesi hawakutegemea consequences za hii kesi.
Serikali now mjifunze kuishi na wapinzani maana mkiwapa mikesi ya uongo na nyinyi hamtaishi kwa amani