Mbowe kupanda kizimbani leo

Mbowe kupanda kizimbani leo

Waingereza hawana huo msemo , huo labda wako.

Pale chini redio uhuru, kuna kimgahawa jioni huwa wanafundishana kiingereza, na huyu jamaa amehitimu cha kuongea sasa ameanza kujifunza misemo ya kingereza,"kaaaazi kwelikweli"
 
waingereza wanamsemo wao, "two wrong don't make it right". Hauwezi kumsafisha
Mbowe kwa kutaja wahalifu wengine k
ambao hawajachukuliwa hatua. Au siwezi nikaanza kuvunja sheria kwasababu najua kuna mtu alivunja sheria na hakuchukuliwa hatua. Cha msingi hapa athibitishe hakuvunja sheria.

Akitokea mtu akudhuru alafu ajitete mahakamani mbona Malima hajachukuliwa hatua utakubali aachiwe huru?
Hivi Hivi mnalipwa buku ngapi?

Z
 
Back
Top Bottom