Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,162
- 162,594
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, mh.Mbowe,anatarajiwa kupanda kizimbani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.
CHANZO:Uhuru.
CHANZO:Uhuru.
aah habari umeipata kwenye gazeti la udaku?uhuru haliuziki
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, mh.Mbowe,anatarajiwa kupanda kizimbani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.
CHANZO:Uhuru.
waingereza wanamsemo wao, "two wrong don't make it right". Hauwezi kumsafisha Mbowe kwa kutaja wahalifu wengine ambao hawajachukuliwa hatua. Au siwezi nikaanza kuvunja sheria kwasababu najua kuna mtu alivunja sheria na hakuchukuliwa hatua. Cha msingi hapa athibitishe hakuvunja sheria.
Akitokea mtu akudhuru alafu ajitete mahakamani mbona Malima hajachukuliwa hatua utakubali aachiwe huru?
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, mh.Mbowe,anatarajiwa kupanda kizimbani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.
CHANZO:Uhuru.
waingereza wanamsemo wao, "two wrong don't make it right". Hauwezi kumsafisha Mbowe kwa kutaja wahalifu wengine ambao hawajachukuliwa hatua. Au siwezi nikaanza kuvunja sheria kwasababu najua kuna mtu alivunja sheria na hakuchukuliwa hatua. Cha msingi hapa athibitishe hakuvunja sheria.
Akitokea mtu akudhuru alafu ajitete mahakamani mbona Malima hajachukuliwa hatua utakubali aachiwe huru?
huyo afungwee tuuMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, mh.Mbowe,anatarajiwa kupanda kizimbani leo kujibu tuhuma zinazomkabili.
CHANZO:Uhuru.
Hapana ni ile kesi ya pesa za ESCROW inasemekana Mbowe aliinjinia dili wengine wote wameachiwa hawana hatia walichukua kihalali kabaki yeye.Ni ile Kesi yake ya kumshambulia na kumtukana matusi mazito wakala wa uchaguzi? Au ni ile ya kufanya maandamano na fujo?
Tuhuma gani hizo?acheni uzushi
Huyu bora awekwe ndani kwamuda mrefu ni hatari kwa jamii
Kuliko mafisadi wa Escrow account?