Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 42,512
- 94,652
Bonge ya Movie ngoja tusubiri. Mzee Rungwe hataamini macho yake, wachaga nomamuda utatupa jibu
Bonge ya Movie ngoja tusubiri. Mzee Rungwe hataamini macho yake, wachaga nomamuda utatupa jibu
Nadhani atagombea Ubunge jimbo la Nyasa kule kwa akina Oscer KambonaAnaenda kuwa mwenyekiti ?
Hamkumtaka awe kiongozi wenu, bado hamtaki atumie uhuru wake wa kikatiba kuchagua jukwaa alipendalo na kufanya siasa, nyie ni waroho sana, wabinafsi wa kutisha..Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahaahhahahahaahahahhaahahhahaahahahhahsha tulishawaambia kitambo hako ka kikundi ka gaidi mbowe mla rushwa kalishakufa kitambo toka enzi zile anaondoka Dkt Slaa, yaani tangu wameacha misingi ya kupambania demokrasia na kuendekeza makundi kwisha kabisa
Hizi ni tetesi tu hakuna kitu kama hichoNimepenyezewa taarifa na mbunge mmoja wa Covid-19 mkoa wa Singida muda huu.
Ngoja tuone.
Siyo Butiama tena?Nadhani atagombea Ubunge jimbo la Nyasa kule kwa akina Oscer Kambona
Hata Mchungaji Msigwa zilianza Tetesi na aka kama 😂😂Hizi ni tetesi tu hakuna kitu kama hicho
Ila Mbowe atakuwa amejivua nguo kabisa!Nimepenyezewa taarifa na mbunge mmoja wa Covid-19 mkoa wa Singida muda huu.
Ngoja tuone.
ni haki yake ya kikatiba hata akienda ccmNimepenyezewa taarifa na mbunge mmoja wa Covid-19 mkoa wa Singida muda huu.
Ngoja tuone.
Okay gentleman🐒atatuma voicemail na picha kwa dispatch
Nimepenyezewa taarifa na mbunge mmoja wa Covid-19 mkoa wa Singida muda huu.
Ngoja tuone.
Mudawote ni mwanaccm mwenzako,umechanganya mafaili.Hamkumtaka awe kiongozi wenu, bado hamtaki atumie uhuru wake wa kikatiba kuchagua jukwaa alipendalo na kufanya siasa, nyie ni waroho sana, wabinafsi wa kutisha..
Chadema asili yake ni Mtei na Akina Mbowe ni chama chao kwa asili hata kama kwenye uchaguzi alishindwa na Lissu hawezi kuhama atabaki anaangalia TAASISI yao inaendaje, hata Mtei hawezi kuruhusu hilo litokee. Baada ya wanzilishi wote kufariki na kubaki Mtei tu mwingine ni Mbowe aliyebaki kama icon na legacy kwa sasa.Ila Mbowe atakuwa amejivua nguo kabisa!
Anyways... ubatili ni mwingi!
Mbowe ndo mzizi wa CDM leo aende chauma chama ambacho hata ruzuku haipati kweliiii ……….Hata Mchungaji Msigwa zilianza Tetesi na aka kama 😂😂
Legacy vs money! Ngoja tuangalie hadi mwisho!Chadema asili yake ni Mtei na Akina Mbowe ni chama chao kwa asili hata kama kwenye uchaguzi alishindwa na Lissu hawezi kuhama atabaki anaangalia TAASISI yao inaendaje, hata Mtei hawezi kuruhusu hilo litokee. Baada ya wanzilishi wote kufariki na kubaki Mtei tu mwingine ni Mbowe aliyebaki kama icon na legacy kwa sasa.