PreGE2025 Tetesi: Mbowe kuibukia Chaumma Leo

PreGE2025 Tetesi: Mbowe kuibukia Chaumma Leo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Sidhani kama anaweza kuchukua risk ya namna hiyo! Yani akubali kufuta legacy yake iliyobakia atupwe shimoni kabisa No No No japo kibongobongo kila kitu kinawezekana na hatunaga aibu kunapo fweza!
 
Sidhani kama anaweza kuchukua risk ya namna hiyo! Yani akubali kufuta legacy yake iliyobakia atupwe shimoni kabisa No No No japo kibongobongo kila kitu kinawezekana na hatunaga aibu kunapo fweza!
Mbona Gachagua ameweza 😁
 
Sidhani kama anaweza kuchukua risk ya namna hiyo! Yani akubali kufuta legacy yake iliyobakia atupwe shimoni kabisa No No No japo kibongobongo kila kitu kinawezekana na hatunaga aibu kunapo fweza!
Kwenye fweza mchaga aibu hua hana.
 
Kwahiyo Mbowe atakuwa chini ya Rungwe? Au Rungwe chini ya Mbowe?
 
Mbona Gachagua ameweza 😁

Ni kweli ndo maana nimesema sidhani lakini nikatoa benefit of doubt kwa sababu roho ya mtu ni kichaka, kwa watu tuliosoma wakati wa Nyerere tunaheshimu sana heshima tuliyojenga kuliko fweza! Lakini kuna kukengeuka mkuu!
 
Hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahhahaahhahahahaahahahhaahahhahaahahahhahsha tulishawaambia kitambo hako ka kikundi ka gaidi mbowe mla rushwa kalishakufa kitambo toka enzi zile anaondoka Dkt Slaa, yaani tangu wameacha misingi ya kupambania demokrasia na kuendekeza makundi kwisha kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom