TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,870
- 5,755
Hutakiwi kuogopa kuchukua pesa za nao wakoloni, zimetokana na jasho la babu zetu waliofanyakazi kwenye ,mashamba ya mkonge,kahawa n.k. wao wanachokifanyan ni kujigonga kwetu, na hivyo ndivyo inavyotakiwa, siyo upuuzi huu anaotuambia Mbowe amekwenda kumshataki rais wetu kwao. Aibu kubwa sana hii.Mkuu TataMadiba usiseme kwa nguvu,maana utakuwa unamsema pia na yule mwingine.Maana alivyopewa Pound Milion 2.7 na Balozi wa Uingereza kusaidia Wahanga wa Tetemeko,alisema Uingereza wametupa hela hizo baada ya kuona tumewatumbua wale akina RAS na DED wa Bukoba.Hivyo wameona pesa wanayotupa inafanya kazi.
Mkuu akasema ataendelea "kutumbua" ili watusaidie kwenye maeneo mengine ya maendeleo maana wanajua hela zao wakitupa zinatumika ipasavyo.
Wewe ni mkongwe,unajua nini maana ya "International Relation and Dipolomacy"...Kila chama na nchi ktk Afrika huwa na "marafiki" nje ya mipaka ya nchi zao.
Mfano CCM rafiki yao mkubwa ni Chama cha Kikomunisti cha China,matatizo yao huyapeleka China,iwe ya kifedha au ya kisera.Hao wachina ndio CCM imewapelekea ombi hicho chama cha Kikomunisti kiwajengee chuo cha chama mbadala wa Kivukoni,chuo kitajengwa Ihemi-Iringa kwa msaada wa Wachina.
Ndio hao hao Makonda kaenda kuwaomba na sasa watajenga uwanja wa nyasi bandia pale chuo cha Utalii(bandari Tandika) kwenye uwanja wa "Ndondo Cup".Wakorea juzi wamesema watajenga daraja la kutoka Coco mpaka Agha Khan na mkuu wa nchi akasema ni msaada wa kujivunia.
Hawa Chadema kama chama,nao wana marafiki huko nje,urafiki haimaanishi "Ukooloni" bali "Uswahiba" tu,au kilicho halali Lumumba basi Ufipa ni haramu?
Niliinamisha kichwa chini alipoanza kusema walikwenda kwa hawa wakoloni.Mim jana hadi hadi nimemuonea huruma kwa kweli jinsi anahaha kuibrand chandema ili iendelee kuaminiwa baada ya kulamba zile 5 bilion kutoka kwa yule nyangema
Tutegemeea maandamano na migomo zaidi, watatakiwa waoneshe pesa walisopewa wamezifanyia nini?Tunasubiri kuona baada ya kwenda huko wamerudi na nini? Kuna waliodai wanaenda ICC walirudi na nini? Kila jitihada zina mrejesho, kila hatua ina pimwa kwa mafanikio.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Mbowe amekata tamaaNanukuu: "Tanzania sio kisiwa.Ndio maana chama kiliona Umuhimu wa kutuma ujumbe Mzito kwenye ziara maalumu nchi za Ulaya .Nchi za Ujerumani na Denmark kuendelea kuujulisha Ulimwengu juu ya ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu na Demokrasia kinyume na jinsi ambavyo serikali imekua ikijipamba kuwa ya amani na Utulivu
Hiyo ilikua ziara ya awamu ya kwanza
Bado Ujumbe Mwingine utatumwa kwenye nchi nyingine kama Uingereza,Marekani,Canada , Malaysia,Japan na hata ndani ya Umoja wa Afrika na kwenye mtangamano wa kikanda kama SADC na EAC"
Mwisho wa kunukuu.
Hawa Wakoloni hawakosei kututaka tuwe Mashoga. Hivi wangewajibu, enendeni mkakubali kuwa mashoga tutawatetea na hatimaye mtachukua dola wangekataa?
Ukipambana na RAIA wema siku zote utashambuliwa na kila MTU mpenda Amani, Kama serikali imemuona Lowasa ni RAIA mwema sasa huyu profesa pumba kabisa wa buguruni atake kuvuruga Amani halafu watu wenye Akili tumuache tuu!!Lipumba anapamabna na Lowassa wala siyo CUF wala CHADEMA, hawa akina Mbowe na Seif wote ni vibaraka wa LOWASSA.
Kama wamepewa, isijekuwa wameambiwa tumewasikia rudini tunafikiria kwanzaTutegemeea maandamano na migomo zaidi, watatakiwa waoneshe pesa walisopewa wamezifanyia nini?
Hivi Mbowe anafikiri mabalozi wa hizi nchi hawatoi taarifa nchini kwao kuhusu hali ya kisiasa hapa? Alafu bahati mbaya kwa Mbowe ni kwamba hao jamaa wanajua upinzani wa Tanzania ukoje, kuanzia richmond mpala libadili gia anganiNanukuu: "Tanzania sio kisiwa.Ndio maana chama kiliona Umuhimu wa kutuma ujumbe Mzito kwenye ziara maalumu nchi za Ulaya .Nchi za Ujerumani na Denmark kuendelea kuujulisha Ulimwengu juu ya ukandamizaji mkubwa wa haki za binadamu na Demokrasia kinyume na jinsi ambavyo serikali imekua ikijipamba kuwa ya amani na Utulivu
Hiyo ilikua ziara ya awamu ya kwanza
Bado Ujumbe Mwingine utatumwa kwenye nchi nyingine kama Uingereza,Marekani,Canada , Malaysia,Japan na hata ndani ya Umoja wa Afrika na kwenye mtangamano wa kikanda kama SADC na EAC"
Mwisho wa kunukuu.
Hawa Wakoloni hawakosei kututaka tuwe Mashoga. Hivi wangewajibu, enendeni mkakubali kuwa mashoga tutawatetea na hatimaye mtachukua dola wangekataa?
shida sana.Kama wamepewa, isijekuwa wameambiwa tumewasikia rudini tunafikiria kwanza
Wewe ni mtoto wa lini, hujui Mbowe aligombea urais 2005 na kupata kura zake laki 3...Ukawa ...na Cuf ni part ya Ukawa ...wameona bundi ameingia kuharibu umoja lazima kusaidiana.
Kwa wasio kumbuka..chadema katika chaguzi 5 zilizo fanyika badi tatu 3 hawakuwahi kuweka mgombea..zote walimsapoti Lipumba na cuf. Cdm walianza kumweka slaa na lowasa..
Hivyo ushirikiano wao haujaanza leo au jana. Dio kwamba hakuna misuguano lakini wana elewana na wakikaa wapo pamoja.
Sasa lipumba anajua chadema ilimsapoti mara 3 ...lakini sasa hivi Baada ya kula hela amenunuliwa anaona cdm hawafai..
Atatoka tu hata kwa umma waote wa ukawa kushiriki adituletee nuksi
Elimu, elimu, elimu. Mwenyekiti kipofu, lakini yeye hana washauri?.Hivi Mbowe anafikiri mabalozi wa hizi nchi hawatoi taarifa nchini kwao kuhusu hali ya kisiasa hapa? Alafu bahati mbaya kwa Mbowe ni kwamba hao jamaa wanajua upinzani wa Tanzania ukoje, kuanzia richmond mpala libadili gia angani
Kwani uliniajiri na kulinifukuza kazi lini?Bado uko kizani? Udikteta kwa sasa ni hoja mfu
Sie mizimu ya wafu, tumewaelekeza TWAWEZA wawafanulie wafu watarajiwa nini maana ya udiktetaKwa nyie wafu msio ona udikteta wala hiyo agenda haipo
Wapande wasipande watajua wenyewe.Hivi leo vibaraka wa Huyu Mangi wamejitokeza kushiriki kupanda miti na kufanya usafi kweli
Akili za kupanda miti kuzuia ukuta ili kuparaganisha umoja na mshikamano wa kitaifa dhidi ya udikteta.Hivi leo vibaraka wa Huyu Mangi wamejitokeza kushiriki kupanda miti na kufanya usafi kweli