....soma vizuri niliyoainisha kisha njoo na hoja ya msingi, alafu naomba takwimu za fisadi yeyote aliyepandishwa mahakamani kwenye mahakama ya mafisadi, vinginevyo kuanzisha kitu halafu unaongelea uvunguni na wewe ni roroso tu....Yaani kumkataa fisadi ni kuuvunjia heshima upinzani?
Heshima ya upinzani wa leo ni kukumbatia mafisadi na wakwepa kodi?
Kuna aina ya watu wanaweza kumuita profesa Uchwara lakini Mbowe hatakiwi kuwa mmoja wao.Mbona hata yule aliekuwa mwenyekiti wa chama cha wajinga, mzee wa Malofa, aliwahi kumwita Lipumba ni Professa Uchwara! Ngoja hadi hapo siku Lipumba atakapojihidhirisha rasmi (Kama vile alivyofanya jaji Ramadhani) kwamba sasa anautaka uenyekiti wa CCM jee utasema yeye ni relevant?
Takwimu za huyo fisadi ziko kwenye makabrasha pale ufipa.......soma vizuri niliyoainisha kisha njoo na hoja ya msingi, alafu naomba takwimu za fisadi yeyote aliyepandishwa mahakamani kwenye mahakama ya mafisadi, vinginevyo kuanzisha kitu halafu unaongelea uvunguni na wewe ni roroso tu....
Mafanikio ya kisiasa na maisha kati ya Mbowe (darasa la saba) na Lipumba (profesa) unayalinganishaje?-Hebu waombe TWAWEZA wakusaidie kufanya utafiti. Halafu ujue kukaririshwa jambo ukiwa hujitambui ni sawa na kuvutishwa madawa ya kulevya-hebu fuatilia shule ya Mbowe halafu uje hapa!Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Hivi mtu na akili zake timamu kabisa anaweza kuhamishia makazi yake kwenye ofisi za chama? Hili kwako unaona liko sawa kabisa?Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Ahahahhaaha!! Wewe ndiyo utakuwa mnazi kuna watu walimtukana Lowassa kama Chadema au unajitoa ufahamu mapenzi kitu kibaya sana.Mkuu acha unazi wa ccm kumtukana lowassa ni kuwatukana ukawa wote, ni sawa mkeo anadhalilishwa ni familia nzima mnadhalilika
Ingependeza Mkuu wana Chadema wangeacha kuwajibia CUFKwanza naomba wana ukawa tuache kuwajibu hawa wafuasi wa lipumba tunawapa air time
Alikosea kumuita irrelevant angemuita disappointmentUkweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Uprofessa haupimwi kwa vyeti peke yake, unaweza ukawa na vyeti vya uprof lkn matendo yako ni km ya std 7Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Professor gani?professor ambae hata mtoto wa darasa la 5 Ana akili kuliko yeye!!haya anayoyafanya Sijui uprofesa aliupata kichawi!!!maana tabora kuna vigagula!!Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
...ushalegea mkuu, so unaongea ukitegemea mawazo ya mtu mwingine, bhahahahhaaaaaa ccm wepesi sana...Takwimu za huyo fisadi ziko kwenye makabrasha pale ufipa...
wewe ni mfuasi wa Lipumba?Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Kwa manyago anayoyafanya Lipumba mi nadhani anastahili matusi zaidi ya hilo. Laiti ningekuwa najuwa kutukana hata mimi ningemtukana.Ukweli ni muhimu ukasemwa...
Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.
Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .
BADO MBATIA SASA!
Le Profeseri tu yule. Kakariri vitin basi hana Jipya.Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
kaka itabidi tukurudishe serengeti ukaungane na nyumbu wenzio! Kwahiyo anachokifanya huyo msomi chapendeza machoni kwako? Lini nyie vijana wenzetu mtajielewa tujenge nchi yetu?Mbowe ambaye hajamaliza hata darasa la saba anamtukana professor?? Kweli nchi imekosa adabu hii
Lowasa hakuanzisha UKAWA......yeye anataka urais tu, hajui cha katiba mpya wala ya zamani.....ndio maaana alikimbia mdahalo. Wapinzani hawakimbii midahaloMkuu acha ushabiki wa ccm kumtukana lowassa ni kuwatukana ukawa wote, ni sawa mkeo anadhalilishwa ni familia nzima mnadhalilika