Mbowe: Hatutashiriki (CHADEMA) tena Uchaguzi wowote! Bado mifumo na Wasimamizi ni walewale

Mbowe: Hatutashiriki (CHADEMA) tena Uchaguzi wowote! Bado mifumo na Wasimamizi ni walewale

Ifikie hatua na Mbowe apishe damu mpya kwenye uongozi wa chama, ameshachafuliwa sana kwa tuhuma mbalimbali zinazokatisha tamaa sisi tusiokuwa makada kindakindaki wa vyama vya siasa. CDM ina hazina kubwa sana ya watu, mzee akubali tu kubaki mshauri wa chama.
 
!
20210407_163341.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Katiba Mpya tu, wale waliokimbilia Chadema kutafuta ubunge ndio tutawajua sasa, wakaungane na wale Covid 19.
 
Ila tofauti na Mfalme aliyeenda zake, Mbowe ukimpinga unabaki salama ila yule mwingine ilikuwa ukimpinga basi alikuwa anahakikisha mpaka bustani yako nyumbani inavurugwa kwa kuvamia vyanzo vya maji au vyovyote vile.
Hiyo haihalalishi udikteta wa Mbowe!

Eti hatushiriki uchaguzi! Anamtishia nani? Ccm?
 
Du! Hata wewe
 
Msishiriki ,kwani mmelazimishwa..!? Vyama vingine vitashiriki...Ata mngeshiriki isingizisaidia familia zetu kupata pesa mfukoni....
 
Better late than never but never late is better!

Nakubaliana na Mbowe.

Hakuna kushiriki chaguzi za kipuuzi mpaka kieleweke.
Ni hatua nzuri lakini ni triki!
Kama vyama vingine vya upinzani vitaendelea kushiriki na kushinda. Huu msimamo wa Chadema utakuwa na impact yoyote?

Sitashangaa ACT wakishinda viti viwili vitatu. Wanachadema wakianza kujeuka wao kwa wao!!
 
Hiyo haihalalishi udikteta wa Mbowe!

Eti hatushiriki uchaguzi! Anamtishia nani? Ccm?
Ni hatua nzuri kama ingekuwa ni msimamo wa vyama vyote vya upinzani na sio Chadema peke yake!
 
Hahahhaa.... Si wamesema matatizo yote kaondoka nayo Magufuli na sasa wako huru? Wanaogopa nini sasa?

Kwani hawa wanaoshangilia humu siyo bavicha?
Kawaida bavicha huwa hawachanganyi na zao, upepo unapoelekea basi na wao huko huko!
 
Itakuwa ni ujinga kuwaza katiba mpya wakati hata hii iliyopo jamaa hakuifuata na hakuna aliyemfanya chochote.

Kuwa na katiba mpya ni suala moja kuifuata ni suala jingine
 
Back
Top Bottom