Mbowe hana cha kupoteza katika kesi yake

Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Sa itakuwaje? Mungu hajawahi kushindwa na Shetani
 
Ni kweli hii kesi yuko kwenye ni win-win-win situation. Wamefanya makosa kumpa kesi ya Ugaidi na kuitangazia Dunia Tanzania sio nchi salama.

Only downside for him, ni kukaa ndani, kupotezewa muda, posibility ya kuumwa au kufariki hakuna faida yoyote kwa upande wa serikali.

Akiumwa au Kufariki, itaongeza pressure kubwa sana kwa serikali hii. Hawakufikiria vizuri uamuzi wa kumfungulia kesi ya ugaidi.
Huo ndio ukweli. Na Bado Mwenyezi Mungu anaend akutoa kichapo kwa wote waliohusika na nuovu huo
 
Samia na vilaza wengine wataaibika na kupotea kama ilivyokwishatokea mapema mwaka huu!
Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
na
 
Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi
NAKATAA hiyo popularity tungeiona sasa wakati wa kesi huko ni kujidanganya na kujipa moyo. Kumbuka Lissu alinusurika kifo lakini hakupata popularity yoyote sembuse yeye Mbowe
 
Mimi nilijua Sabaya kahukumiwa kimkakati,Lengo kum-frame Mbowe na picha imeshaanza kujiridhisha.Kumbe kuanzisha kikundi cha ugaid Tz ni simple hivyo?,just one basic salary ya mfanyakazi wa mhindi.
Nimeshangazwa sana na support ya laki sita
 
Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
 
Unaitishia mahakama kuwa imuogope Mwamba Ana nguvu kubwa?
Subiri Sasa uone maana ukimtishia jaji lazima akuonyeshe kilichokunja mkia wa mbwa.
 
I'm not happy the way kesi inavyokwenda, btw CCM hawana aibu wala hurumu kwa mtu anaetishia uwepo wao madarakani. Katika Africa jamii nisiyoiamini ni jamii ya watanzania,Mbowe anaweza fungwa na watanzania wakaendekea na maisha yao kama vile Mbowe alikuwa hana maana yeyote kwenye maisha yao.
 
Mbowe hana lolote ahukumiwe tu.

Maana hakuna wakati ameniudhi kama kutaka kuleta ubabe kwa serikali kisa inaongizwa na Rais mwanamke.

Ningekuwa na sababu ya kumuonea huruma iwapo angefanya ubabe huu kipindi cha Magu
 
Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Sio Mbowe tu arelax, hata ninyi mrelax. Muache speculations. Muda ndio utatoa majibu ya unayoyasema.
 
Mbowe hana lolote ahukumiwe tu.

Maana hakuna wakati ameniudhi kama kutaka kuleta ubabe kwa serikali kisa inaongizwa na Rais mwanamke.

Ningekuwa na sababu ya kumuonea huruma iwapo angefanya ubabe huu kipindi cha Magu
Ubabe?? Nyie ndo matiki maji ulitaka amnyenyekee, unataka Trump amnyenyekee Biden???
 
Kwa ufupi ni kuwa hii kesi inaenda kuivua nguo serikali ya Samia Suluhu, inenda kuwavua nguo kina DPP, IGP na DCI.

Kwanini Mbowe hana cha kupoteza katika hii kesi

1. Kama Mbowe atafutiwa kesi na DPP basi jamaa(Mbowe) atakuwa amepata popularity ya kutosha ndani na nje ya nchi,pili itampa kiburi zaidi Cha kuendelea kudai katiba mpya kwa nguvu Sana.

2. Kama wataacha kesi iamuliwe na mahakana na Mbowe kushinda kesi,, itakuwa aibu kubwa kwa Rais na hao wasaidizi wake, na Mbowe anaenda kuwa na jeuri zaidi na confidence ya kuendelea kudai katiba mpya.

3. Kama wakiamua kumuhukumu Mbowe, Kesi ya ugaidi ni kubwa itabidi Mbowe afungwe miaka 30 jela au kunyongwa. Hapa ni pagumu sana sasa hivi Serikali ina pressure kubwa sana kutoka ndani na nje ya nchi kutokana na kushikiliwa kwa Mbowe so wakimuhukumu 30yrs au wakimnyonga itakuwa hatari kwa usalama na ustawi wa taifa(ukweli CCM wanajua nguvu ya huyu mwamba)

Mwisho, Serikali atakuwa ndo looser kwenye hii kesi.

So Mbowe relax muda utaamua
Hapa tu kesi ilipo tayari ameshapoteza mengi. Watanzania wengi tunamuogopa na kumuona kama Hamza
 
Back
Top Bottom