Mapirobe
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 683
- 117
MBOWE HAFAI KUWA KUB!
Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi
1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.
2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.
Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.
UKAWA tushtuke jamani
Mhe Mbowe hafai tena kuendelea kuwa Kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni(KUB), kiongozi huyu amekosa sifa hizo baada ya kuonekana kuwa na tamaa hasa ya hela badala ya kuwatumikia wananchi
1: Mbowe aliamua dhahiri kutoa nafasi ya Dr slaa kwa Lowassa kwa kinachodaiwa kula alikula mshiko.
2: Alichangisha michango wananchi, bila kutoa taarifa za mapato na matumizi ya hela zile hadi sasa.
Kwa mtazamo huu, huyu si kiongozi na hafai kuwa KUB.
UKAWA tushtuke jamani