Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,759
- 33,106
Wakati Mbowe akiongea na waandishi wa habari kule Mwanza juzi alirudia hayo maneno kama mara tatu hivi,
nanukuu
"Majitu yamekaa kule Dodoma yanapanga mambo na yanapitisha kodi za kuumiza wananchi, Bunge lenyewe siyo halali halafu yanakaa yanapanga mambo ya hovyo hovyo tu"
Kauli kama hizi ni dharau kubwa sana kwa Serikali ya Mama! Ukisema Bunge siyo halali maana yake hata Rais aliyepo siyo halali vilevile.
Kwa kweli uhuru usio na mipaka wala busara ni uhuni mtupu!
Namna bwana Mbowe utakamatwa sana.
nanukuu
"Majitu yamekaa kule Dodoma yanapanga mambo na yanapitisha kodi za kuumiza wananchi, Bunge lenyewe siyo halali halafu yanakaa yanapanga mambo ya hovyo hovyo tu"
Kauli kama hizi ni dharau kubwa sana kwa Serikali ya Mama! Ukisema Bunge siyo halali maana yake hata Rais aliyepo siyo halali vilevile.
Kwa kweli uhuru usio na mipaka wala busara ni uhuni mtupu!
Namna bwana Mbowe utakamatwa sana.