Ibulyu Mbiti
Member
- Apr 1, 2012
- 21
- 4
. Kamanda binafs me u utufai siwez kuunga mkono mtu kama wasira anasinzia hovyo niwe nae pamoja TZ itakua wapi???????????????????????????????umoja ni nguvuutengano niuthaifu tuwaweke wabunge wooote wawe kundi 1 hakika 2tafika.
Kamanda Mbowe nakuaminia. Njoo LONGIDO ndo kuna mtaji mkubwa wa CCM imekuwa ikisha kila mwaka kwa 84% huku wananchi wake wikiwa na kipato cha sh. 200-500 kwa siku. Ninajua si rahisi watu kuamini hili lakini ndivyo ilivyo vijana wa CDM tuliamua kufanya assessment tukagundua hili. Vijana, Akina mama na Wazee wanafunzi wamechoshwa sana CHADEMA ni kuja kuchukuwa tu. Viongozi wa Chama CCM ni maarufu sana kwa kushinda na tooth pick midomoni wakichokonoa vipande vya minofu ya nyama huku familia zao wakiishia kushinda kwa uji wa chumvi. Kwa kifupi jana walirudi vijijini kwa aibu baada ya kukung'utwa na nguvu umma.
Mbowe kama Chumong. The King who never stay in the PAlace; always in the Fight Front Line [FFL]
Bigup Mwenyekiti...
Natamani Marehemu Regia Mtema angekuwa hai. Nimemiss updates zake hususani katika matukio kama haya! R.I.P Kamanda.
Chadema hongereni sana!
mbunge 1 wa cdm ni sawa na wabunge 10 wa ccm.mhh kuna asilimia ngapi ya wabunge wa cdm mjengoni? ................. kama ni hao vipi tuone tumefanikiwa wakati bado tunahitaji wabunge zaidi?
Katika mkutano wa leo mbowe ametoboa siri ya mafanikio ya CHADEMA kuwa ni umoja walionao katika uongozi wao huku wabunge wao wakiwa tayari kutumika katika ujenzi wa chama hicho. Amewaomba wameru wasishangae kumuona Nasari akiwa Lindi au Mtwara katika shughuli za ujenzi wa Taifa kwani mbunge wa Chadema ni mbunge wa Taifa. Hayo aliyasema kukiwa na mvua kubwa iliyoendelea katika mkutano wa shukrani kwa Wameru kukichagua Chadema katika viwanja vya Leganga USA leo jioni.