dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Anasema kitendo cha uongozi wote wa juu, mawaziri na viongozi serikali kukimbia bunge na kuacha watu watano kwa ajiri ya kulinda nafasi ya chama ni aibu sana. Anasema hiki kitendo ni sawa na kukimbia iikulu na kuwaachia upinzani.
Akasema wananchi wanaona tunavyo pambana. anasema ntawambia watanzania warudi barabarani kwa sababu hapa bungeni hatusikilizwi.
Naomba wananchi waendelee kuweka presha huko mtaani wakati sisi tukiweka presha bungeni.
Akasema wananchi wanaona tunavyo pambana. anasema ntawambia watanzania warudi barabarani kwa sababu hapa bungeni hatusikilizwi.
Naomba wananchi waendelee kuweka presha huko mtaani wakati sisi tukiweka presha bungeni.