johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Mwenyekiti wa Chadema, mheshimiwa Mbowe, amemtumia salamu za pongezi Mwadhama Protace Kardinali Rugambwa baada ya kusimikwa rasmi kuwa kardinali.
Mbowe amesema taifa la Tanzania litautegemea sana uzoefu mkubwa alionao katika kuwaongoza watu kiroho na kimwili duniani kote.
Kanisa Moja Takatifu la Mitume. 😃
Mbowe amesema taifa la Tanzania litautegemea sana uzoefu mkubwa alionao katika kuwaongoza watu kiroho na kimwili duniani kote.
Kanisa Moja Takatifu la Mitume. 😃